Monday, February 6, 2017

KINGDOM LEADERSHIP

*KINGDOM LEADERSHIP/UONGOZI WENYE DHANA YA UFALME WA MUNGU NDANI YAKE* *Watoto wa Jehova *ninawasalimia katika Jina la yesu kristo mwana wa Mungu aliyehai*🙌🙌✋� *Naomba tufuatane katika somo hili ili tujifunze kitu kupitia somo hili ,ninamuomba roho mtakatifu akupe Ufahamu ili uweze kuelewa somo hili* *kingdom leadership* *is the *kind of leadership* *that personifies the kingdom of God* *as demonstrated in the life and work of JesusChrist*. In *other words*, It's *leadership lifestyle* *that represents and manifests kingdom* *principles, policies and dictates* *contained in the* *Word of God*. *Uongozi wenye dhana ya Ufalme wa Mungu*Huu ni aina *ya uongozi ambao* *viongozi waliopo kusudi lao kubwa huwa ni kuudhirisha ufalme wa Mungu katika Maeneo wanayoongoza yaani kuuleta ufalme wa Mungu karibu na watu wanaowaongoza* *SIFA ZA KIONGOZI MWENYE DHANA YA UFALME WA MUNGU NDANI YAKE/KINGDOM LEADER* 1.Huwa *na *maono*/(vision) *ndani yake ,kiongozi mwenye dhana ya ufalme wa Mungu siku zote huwa na maono na kupitia maono hufanikanisha kusudi la Mungu alilomuitia na kumpa nafasi ya kuwa kiongozi,siku zote yeye huwa anaona kuna *Uwezekano*(Possibility) *haoni kutokuwezekana(Impossibility) hata kama wale anaowaongoza inafikia hatua wanakata tamaa Bali yeye huwa hakati tamaa hata kidogo Bali huwatia moyo wale anaowaongoza.* *Mithali 29:18* *Biblia inasema kuwa* *pasipo maono watu huacha kujizuia*viongozi wenye dhana ya ufalme wa Mungu ndani yao wanatakiwa kuwa na *maono* 2.Hana *dhana ya *umimi*(selfshiness ambition), *huwa anapeleka mbele mambo ya anaowaongoza mbele zaidi kuliko mambo yake yeye mwenyewe* kwenye kitabu cha kutoka 32:30-32 Biblia inasema *Hata asubuhi yake Musa akawaambia watu,mmetenda dhambi kuu,na sasa nitakwenda juu kwa BWANA,labda niyafanya upatanisho kwaajili ya dhambi yenu.Musa akarejea kwa akasema ,Aa! Watu hawa wametenda dhambi kuu wamejifanyia miungu ya dhahabu.Walakini sasa,ikiwa utawasamehe dhambi yao na kama sivyo unifute nakusihi katika kitabu chako ulichoandika* *Musa angeliweza kumwambia Mungu awaangamize wanaisrael wote halafu Mungu amfanyie kizazi ambacho hakitamtenda dhambi ila alimwambia Mungu awasamehe watu wale wa Israel kwa sababu Musa alikuwa kiongozi aliye beba dhana ya ufalme ya Mungu ndani yake maana yake hakuwa na umimi* 3.Yuko *tayari kufa au kufungwa kwaajili ya watu anaowangoza/Ana sacrifice love kwa wale anaowaongoza* *YESU ni kiongozi aliyebeba dhana kubwa ya Ufalme wa Mungu maana alikubali *KUFA* *msalabani ili sisi wenye dhambi tuokolewe*. *Kutoka 32:32 Inasema, walakini sasa,ikiwa utawasamehe dhambi yao na kama sivyo unifute ,nakusihi katika kitabu chako ulichoandika* Musa *kwa sababu ni kiongozi aliye beba dhana ya ufalme wa Mungu ndani yake alimwambia Mungu kama hatawasamehe wana waisrael amfute katika kitabu cha uzima yaani alikubali kupoteza ufalme wa Mbinguni kwa sababu alikuwa kiongozi aliyebeba ufalme wa Mungu ndani yake* 4.Husikiliza na kuitii *sauti ya Mungu* *ukisoma kitabu cha 1 samwel 15,utakutana na habari za sauli alivyoambiwa na Mungu akaangamize ,akaue na akaharibu kila kitu nchi ya waameleki,Lakini sauli hakuitii sauti ya Mungu alipoenda Ameleki aliua ila hakumuua Mfalme wao AGAGI na hakuua wanyama wote Bali alichagua wanono ili akamfanyie Mungu sadaka ya kuteketezwa,kumtolea Mungu dhabihu na sadaka ya kuteketezwa ni wazo zuri lilikuwa ila siyo wazo la Mungu(IT'S GOOD IDEA BUT NOT GOD IDEA)* 5.Huenda na *ombi maalum mbele za Mungu(HE IS TOO SPECIFIC NOT TOO GENERAL)* *2 samwel 2:1 Inasema baada ya hayo,Daudi akauliza kwa BWANA ,akasema je ! Niupandie mji wowote wa Yuda ? BWANA akamwambia ,Haya panda.Daudi akasema ,Niupandie mji UPI ?Akasema Hebroni.Hapo tumeona kuna maswali mawili tofauti kumbuka Mungu anakujibu kama ulivyomuomba ,Mungu aliuliza swali la kwanza TOO GENERAL na Mungu naye alimjibu TOO GENERAL na swali la pili alivyokuwa SPECIFIC Mungu naye alimpa majibu SPECIFIC* 6.Hunyenyekea *Mbele za Mungu* *Kiongozi mwenye dhana ya ufalme wa Mungu ndani yake huwa Mnyenyekevu Sikuzote mbele za Mungu,huwa sio MTU wa kujisifu,dharau kwa wengine na m

No comments:

Post a Comment